Miss Universe 2014 Waingia Kambini Golden Tulip Hotel

WAREMBO wa Miss Universe Tanzania 2014 wameanza rasmi kambi katika hoteli yenye hadhi ya kipekee Golden Tulip Hotel. Hii ni kwa ajili ya kujiandaa na fainali ya Miss Universe Tanzania 2014 itakayofanyika tarehe 02 mwezi Octoba. Miss Universe Tanzania pia imeandaa mafunzo mbalimbali kwa ajili ya kuwapa warembo ili kujitambua kama vijana na kama wanawake. Mafunzo hayo yatakuwa yakitolewa na …

Lulu Aitambulisha Filamu Yake Mapenzi ya Mungu

 Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga. Meneja Masoko wa Kampuni ya Proin Promotions Ltd, Evance Stephen akiongea na wanahabari leo katika …

Diamond Azidi Kujichanganya JWTZ, Aandika Barua ya ‘Vituko’…!

Na Mwandishi Wetu, MSANII wa Muziki wa Kizazi kipya Naseeb Abdullah a.k.a Diamond Platinamz amezidi kujichanganya katika kosa linalomkabili na kutumia mavazi wa JWTZ kwenye show yake aliyoifanya katika Tamasha la Fiesta lililofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Vichekesho zaidi vya msanii huyo maarufu amevifanya pale alipoamua kuandika barua ya kuliomba radhi Jeshi la Wananchi Tanzania kwa kitendo cha …

Diamond: Siwezi Kwenda Mahakamani…!

MSANII nyota wa muziki wa bongo fleva Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz amesema kamwe hawezi kwenda mahakamani kumshtaki mtu kwa ajili ya kashfa na vituko ambavyo vimekuwa vikimuandama kwenye vyombo vya habari. Msanii huyo Diamond Platnumz alisema kwa sasa yeye ni msanii pekee ambaye anaandikwa sana na vyombo vya habari kuhusiana na kasha na maswala mengine katika maisha yake binafsi …

Bifu la Diamond, Ali Kiba Lahamia kwa Mashabiki…!

Na Mwandishi Wetu, BIFU la wanamuziki nyota wa muziki wa bongo fleva kati ya msanii Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na msanii Ali Kiba limeendelea kushika kasi na sasa limeingia kwa mashabiki na wapenzi wa wasanii hao. Bifu hilo lilipamba moto zaidi katika tamasha la fiesta jijini Dar es Salaam ambapo msanii Diamond alizomewa mwanzo mwisho na baadhi ya mashabiki …

Tamasha la Handeni Kwetu Lawalilia Wadhamini

  Na Mwandishi Wetu, Handeni WADAU wa mambo ya utamaduni yakiwamo mashirika, makampuni na watu mbalimbali wameombwa kujitokeza kuliwezesha tamasha la Handeni Kwetu 2014, lililopangwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu wilayani Handeni, mkoani Tanga. Tamasha hilo linafanyika huku mwaka jana likiwezeshwa kwa kiasi kikubwa na Shirika la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ushirikiano na wadau mbalimbali walioliwezesha tamasha …