Flaviana Matata Aula Marekani, Apata Dili la Matangazo
MWANAMITINDO FLAVIANA MATATA ANAYE FANYA KAZI ZAKE NCHINI MAREKANI AMBAYE AMEKUWA AKIFANYA KAZI MBALIMBALI ZA KUONESHA MAVAZI JUKWAANI SAMBAMBA NA MATANGAZO YA KIBIASHARA. SASA AMEFANYA NA KAMPUNI YA NEWYORK AND COMPANY KWA AJILI YA MAVAZI YA MAJIRA YA JOTO.
Waingizaji wa Vichekesho Aki na Ukwa wa Bongo Waelezea Mafanikio…!
Kushoto ni Meya Shabani a.k.a Aki akiwa na Mwenzake Nicholaus Ngoda a.k.a Ukwa nje ya ofisi yao Aki na Ukwa wa Bongo wakipiga kazi … Wasanii wa komedi maarufu kama Aki na Ukwa wa Bongo Muvi wameelezea mafaniko yao kwenye tasnia ya filamu za vichekesho nchini kwa mara ya kwanza tangu wajiingize kwenye filamu mwaka 2010. Wakizungumza na Komedi Zone, …
Mama Kanumba Alia Ukumbini…!
MAMA wa aliyekuwa staa wa filamu nchini Tanzania Steven Kanumba (The Great) juzi jijini Dar es Salaam alijikuta akiangua kilio hadharani kwenye hafla ya utoaji Tuzo za Filamu Tanzania kwa mwaka 2015 (Tuzo za TAFA 2015). Tukio hilo lilitokea mara baada ya kutangazwa kwa marehemu Steven Kanumba kutwaa tuzo ya msanii aliyechangia kiasi kikubwa kukua kwa tasnia ya filamu nchini …
Uzinduzi Tamthilia ya Tuonane ya StarTimes
Balozi wa China nchini Tanzania, Liu Dong akitoa hutuba yake wakati wa uzinduzi wa Tamthilia mpya ya Tuonane ,Lets Get Married iliyichezwa na wachina na kutafsiriwa kwa kiswahili. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar e Salaam jana. Kulia ni Ofisa kutoka ubalozi wa China, ambaye alikuwa ni mkalimani wa balozi huyo, Yetianfa Attache. Balozi wa China nchini Tanzania, Liu Dong (kulia), …