Na Mwandishi Wetu BONDIA maarufu nchini Francis Cheka na Mserbia, Geard Ajetovic.watazipiga katika Pambano la raundi 12 la kuwania ubingwa wa mabara wa WBF la uzani wa super middle limepangwa kufanyika kwenye viwanja vya Leaders Dar es Salaam ambapo bendi ya Twanga Pepeta itatoa burudani. Meneja wa Cheka ambaye pia ni Mkurugenzi wa Advance Security, Juma Ndambile alisema Jana kuwa …
Hii Ndio Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki John Wolker Hapa Duniani
Habari Kutoka Mkoani Tanga ambapo ndipo Marehemu John Woka, Msanii wa longtime Tanzania amezikwa. Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki pia walijumuika kutoa heshima ya Mwisho Chanzo cha habari na Millardiayo.com
Rais Magufuli Akutana na Wasanii Ikulu Kushiriki Chakula
Wasanii wa Tanzania jana walialikwa na kula chakula cha mchana pamoja na Rais John Pombe Magufuli tangu ateuliwe,Rais Magufuli amekutana na wasanii hawa kama miongoni mwa makundi yaliyoshiriki kwenye kampeni.
Beyonce Akumbana na Pingamizi Nchini Marekani
Waandamanaji watatu walijitokeza katika mkutano wa kumpinga nyota wa muziki Beyonce nje ya uwanja wa Mpira ya Marekani mjini New York. Maandamano hayo yaliitishwa baada ya onyesho la msanii huyo wakati wa mapumziko ya mechi katika uwanja huo ambapo yeye na wacheza densi wake walivalia kama wanachama wa kundi la itikadi kali la Black Panthers. Watu wengi nchini Marekani walisema …
Mwili wa Marehemu John Walker Waagwa Dar es Salaam Tayari Kuelekea Tanga
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi, (kulia) akiwa amebeba jeneza la marehemu Michael Dennis Mhina ‘John Walker’ Dar es Salaam wakati wa ibada iliyofanyika katika Kanisa la Muhimbili. (Picha na Francis Dande Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi, (kulia) akiwa amebeba jeneza la marehemu Michael Dennis Mhina ‘John Walker’ Dar es Salaam wakati wa …
Kanye West Azidi Kuongeza Mpunga Baada ya Kuuza Albumu ya Life of Pablo
Albamu mpya ya mwanamuziki Kanye West imepakuliwa kutoka mtandaoni zaidi ya mara 500,000 kulingana na kampuni ya kupakua kanda za video na sauti Torrent Freak. Msanii huyo alitoa albamu hiyo ya Life of pablo kutoka kwa huduma ya mtiririko wa muziki wa Jay-Z Tidal siku mbili zilizopita. Maelfu ya raia waliolipa ili kusikiza albamu hiyo walilalama kwamba wameshindwa kupakua albamu …