Wasichana wanne wa Tanzania wakiaga kwa kupungia mikono huku wakiwa na , Bendera ya Taifa waliyokabidhiwa na Kamishna Mkuu wa Chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), Symphorosa Hangi katika hafla ya kuwaaga kwenda Uganda ambako watakutana na wenzao 31 kutoka nchi za Afrika Mashariki na Kati katika mafunzo ya uongozi na utamaduni katika nchi hizo. Hafla hiyo ilifanyika Uwanja wa Ndege …
Tanzania Kutumia Mfumo wa Dirisha Moja la Huduma…!
TANZANIA itaanza kutumia Mfumo wa Dirisha Moja la Huduma (Electronic Single Window System) ili kuhakikisha inaboresha huduma kwa wafanyabiashara ambao wanaingiza mizigo nchini kwa njia ya bandari, mipaka na viwanja vya ndege, Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imeeleza mpango wa Serikali wa kuanza kutumia mfumo wa Dirisha Moja la Huduma (Electronic Single Window System) ambao kwa hakika utamaliza tatizo …
Makosa ya Watumiaji Barabara Yanavyoatarisha Maisha ya Watumiaji Wengine
Mwendesha bodaboda pamoja na abiria wake akitumia barabara eneo lisilo sahihi jambo ambalo ni hatari kwa watumiaji wengine. Pamoja na hayo dereva huyu na abiria wake hawajavaa kofia ngumu jambo ambalo ni kosa lingine kisheria.
Taasisi za Umma Marufuku Kujenga Vituo Binafsi vya Kuifadhi Data
SERIKALI imezitaka taasisi zake kote kuachana na mpango wa kujenga Vituo binafsi vya vya kuhifadhia kumbukumbu (Data Center) na badala yake kutumia Kituo cha Serikali cha kuhifadhia Data na kumbukumbu (NIDC) chenye uwezo na hadhi ya Kimataifa. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe Profesa Makame Mbarawa baada …
DC Hai Atoa Maelekezo kwa Mkurugenzi Juu ya Watumishi Wabadhilifu
Mkuu wa wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai kuhusu ubadhilifu uliofanyika wakati wa zoezi la utengenezaji wa madawati. Kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Yahana Sintoo. Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai wakiwa katika kikao hicho. Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanawa (katikati) akiwa na katibu tawala wa …
Serikali Yaunda Tume Kutafuta ‘Mchawi’ wa Moto Kiwanja cha Ndege JNIA
SERIKALI imesema imeunda Tume ya uchunguzi ya watu 12 ili kuweza kuchunguza na kubaini chanzo cha ajali ya moto iliyotokea jana saa Tano usiku katika chumba kidogo cha kuhifadhia mizigo kilichopo kwenye jengo la Pili la abiria (Terminal II) katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo, Waziri wa …