Rais Magufuli Kuzinduwa Rasmi Mabasi ya Mwendo Kasi Dar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli, kesho tarehe 25 /01/2017 anatarajiwa kuzindua Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji wa Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka (Bus Rapid Transit – BRT) katika Kituo Kikuu cha Mabasi kilichopo Kariakoo eneo la Gerezani. Uzunduzi huo utahudhuriwa na Rais wa Benki ya Dunia, Kanda ya Afrika, Bw. …

Afikishwa Mahakamani kwa Kumjeruhi na Chupa Mkewe

  Na Woinde  Shizza, ArushaMFANYABIASHARA maarufu wa madini  jijini Arusha, Venance  Moshi (30) amefikishwa mahakamani na kusomewa maelezo ya awali katika kesi  inayomkabili ya kushambulia na kumjeruhi  mkewe kwa chupa usoni, wakiwa wanasuluhishwa na baba mkwe, mgogoro wa ndoa yao. Mbele ya hakimu, Devota Msofe wa mahakama ya Wilaya Arusha, mwendesha mashtaka wa serikali, Agnesi Hyera alieleza mahakama hiyo kuwa mnamo marchi 11 mwaka 2016 katika maeneo ya …

TTCL YAZINDUWA HUDUMA YA 4G LTE MKOANI MWANZA

                KAMPUNI ya Simu Tanzania TTCL, imezindua Huduma za TTCL 4G LTE katika Jiji la Mwanza siku ya Jumatatu, Januari 23, 2017. Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe John Mongela alieongozana na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Mary Tesha Onesmo na Kamanda wa Polisi Mkoa …

Kamati ya Taifa Matumizi ya Bioteknolojia Salama Yaridhika na Utafiti wa Mahindi…!

 Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi, Hussein Mansour akizungumza katika mkutano huo wakati akiwakaribisha wajumbe wa NBC katika kituo hicho cha utafiti wa kilimo cha Makutupora cha mkoani Dodoma. Mshauri wa mradi wa Wema, Dk. Alois Kullaya (kkushoto), akitoa maelezo mafupi kwa wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Matumizi Salama ya Bioteknolojia (NBC), kabla …

AU Kujadili Madai ya Haki za Ardhi kwa Wanawake Barani Afrika

      Meneja wa Haki za Wanawake kutoka Actionaid Tanzania, Scholastica Haule akionesha nakala yenye madai hayo kwa vyombo vya habari walipokutana kumpongeza Mjumbe mwakilishi kutoka nchi za Afrika Mashariki wa Baraza la Wanawake wa Vijijini, Florah Mathias kupata nafasi hiyo.        

Watakiwa Kujitokeza Kuchagua Madiwani, Mbunge

Na Aron Msigwa –NEC, Zanzibar TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wananchi wanaoishi katika kata 19 zitakazofanya Uchaguzi mdogo wa Madiwani kwa upande Tanzania Bara na Ubunge katika jimbo la Dimani Zanzibar Januari 22, 2017 wajitokeze kwa wingi kupiga kura kuwachagua viongozi watakaowaongoza kwa kipindi cha miaka 3. Akizungumza na vyombo vya Habari leo mjini Zanzibar, Mwenyekiti wa Tume …