Ofisi ya Msajili Vyama Vya Siasa Aipa CUF Ruzuku ya 369,366,671/-

Meza Kuu. Kutoka kulia ni Kamanda Mkuu, Athumani Hamadi,Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi, Mneke Jafar, Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi (Taifa) wa Chama cha Wananchi (CUF), Thomas D.C Malima, Katibu Jumuiya ya Wanawake (JUKE), Salama Masoud na Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa, Masha Amour. Wanahabari wakichukua taarifa hiyo. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.  Mkutano ukiendelea.   TAARIFA KWA UMMA  …

Katibu Mkuu Kilimo Atoa Hofu Watumishi Kuhamia Dodoma

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhandisi Mathew John Mtigumwe hii leo amewaondoa hofu watumishi wa wizara yake kuhusu zoezi la serikali kuhamia Dodoma kuwa litafuata misingi na stahili za watumishi kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa Umma. Mhandisi Mtigumwe ametoa kauli hiyo wakati wa kikao maalumu cha kuhusiana na uamuzi wa serikali kuhamia Makao …

Wabunge wa uzazi salama wataka bajeti ya afya ya uzazi na mtoto kuboreshwa

    WABUNGE wa kundi la uzazi salama wametakiwa kuhamasisha na kutetea Bajeti ya Afya ya Uzazi na Mtoto ili ipewe kipaumbele katika mipango ya Halmashauri kwa mwaka 2017/2018. Hamasa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kundi la Wabunge wa Uzazi Salama, Mh. Jenista Mhagama wakati akifungua mkutano uliowakutanisha wabunge wa kundi hilo wapatao 30 pamoja na Muungano wa Utepe Mweupe …

Shibuda Awataka Watanzania Kumuunga Mkono Rais Magufuli

 Mkutano ukiendelea.  Waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo. Mwanahabari Suleiman Msuya akiuliza swali katika mkutano huo.   Na Dotto Mwaibale   WATANZANIA wameombwa kumuunga mkono Rais Dk. John Magufuli kwa jitohada zake anazozifanya za kuongoza nchi. Mwito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Shibuda wakati akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa kuuaga …

Asasi za Kiraia Zawasilisha Mapendekezo kwa Wabunge Juu ya Maboresho Sheria ya Usalama Barabarani

  *Wataja visababishi vitano vya ajali MTANDAO wa wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania siku ya tarehe 26 na 27 Januari, 2017 wamefanikiwa kukaa na baadhi ya wabunge kutoka kamati ya mambo ya nje, Ulinzi na usalama, Katiba na sheria pamoja na miundo mbinu katika kikao kilichoongozwa chini ya mwenyekiti wake …

Wakulima,Wafugaji na Wavuvi Kufanya Shughuli zao Kitaalam

Asasi ya kusaidia sekta binafsi ya kilimo (PASS) imewataka wakulima na wajasiriamali wote wa kilimo ,uvuvi na wafugaji wafikirie namna ya shughuli zao kitaalam. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa asasi hiyo Nicomed Bohai ya kwamba wakulima wafikirie kufanya shughuli zao kibiashara,watafute elimu na maarifa ili waweze kudhaminiwa kupata mkopo wa kuendeleza shughuli zao. Amesema kuwa wanajenga mahusiano ya kibiashara …