Mwenyekiti wa Baraza la Viongozi wa Dini la Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania, Sheikh Alhad Mussa Salum. Baadhi ya viongozi wa dini (waliokaa), wakiwa kwenye mkutano huo. Wengine ni wanahabari. Mkutano na wanahabari ukiendelea. Na Dotto Mwaibale BARAZA la Viongozi wa dini la kupambana na dawa za kulevya Tanzania ambalo liko chini ya Tume …
Manji, Mbowe, Gwajima na Azzan Watajwa na Makonda Orodha ya Dawa za Kulevya
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam ameendelea kutingisha vyombo vya habari baada ya leo kuibuka na majina mengine 65 ya watuhumiwa wa dawa za kulevya. Katika orodha hiyo mpya yumo tajiri maarufu Yusuf Manji, aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni, Idd Azzan Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na Mchungaji maarufu Gwajima. Akizungumza na waandishi wa habari Ofisi kwake leo jijini …
Waziri Lukuvi Agawa Hati za Kimila Vijiji vya Hembeti, Dihombo
Wakazi wa vijiji vya Hembeti na Dihombo wakisubiria kupata Hati miliki zao Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvi akitoa hotuba yake wakati wa alipozindua utoaji wa Hatimiliki za kimila wilayani Mvomero. Mratibu wa Elimu kata ya Hembeti, Charles Kikully akisoma Risala ya vijiji vya Hembeti na Dihombo kwa Waziri Lukuvi. Mkuu wa Wilaya …
Matumizi ya Takwimu Nchi Zinazoendelea Bado Kikwanzo
Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk. Albina Chuwa akitoa hutuba yake. Balozi wa Umoja wa Ulaya Kanda ya Afrika Mashariki, Roland Van De Geer, akitsoma hutuba yake. Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bella Bird akizungumza kwenye mkutano huo. Mtafiti kutoka Taasisi ya Repoa, Dk. Blandina Kilama, akizungumza kwenye mkutano huo. Mtakwimu kutoka Menejimenti Ofisi ya Mtakwimu …
Wanawake Washirikishwe Ardhi ya Familia Inapouzwa
MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Happyness Seneda amewataka watendaji na viongozi wa vijiji vya wilaya hiyo kuakikisha wanatoa vipaumbele kwa wanawake katika umiliki wa ardhi na pia familia kuwashirikisha wanawake kutoa uamuzi pale wanapotaka kuuza ardhi mali ya familia. Bi. Seneda alitoa kauli hiyo alipokuwa akifunga semina kwa baadhi ya madiwani, watendaji na wenyeviti wa …
Namaingo Watakiwa Kuchangamkia Uzalishaji wa Malighafi za Viwanda
Na Richard Mwaikenda SERIKALI imeutaka Ushirika wa Vibidar Namaingo kuanza kuzalisha mazao mengi kwa ajili ya malighafi ya viwanda vilivyopo na vinavyotarajiwa kuanzishwa nchini. Ushauri huo ulitolewa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mary Mashingo wakati wa sherehe ya kukabidhi cheti kwa ushirika huo wa Vikundi vya Biashara Dar es Salaam (Vibidar), kwenye Uwanja wa …