Waendesha boda boda wa Wilaya ya Kisarawe wakiwa kwenye mkutano huo. Waendesha boda boda wa Wilaya ya Kisarawe wakiwa kwenye mkutano huo. Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, James Mlowe, akionesha moja ya jacket katika mkutano huo. Kushoto ni Diwani wa Kata ya Kisarawe, Abel Mudo na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri wa wilaya hiyo, Khamis …
Masha Ajiengua TLS Dakika za Mwisho, Aungana na Tundu Lissu
MGOMBEA wa kiti cha urais wa Chama cha wanasheria Tanganyika (TLS) Lawrence Masha ametengua uamuzi wake kwa kusema kuwa ameamua kuumuunga mkono mgombea mwenzake Tundu Lissu. Maamuzi hayo ameyafanya wakati alipokaribishwa ili kujinadi mbele ya wapiga kura wake katika Mkutano Mkuu wa TLS unaoendelea katika kituo cha mkutano cha kimataifa AICC Jijini Arusha Leo. Aidha mwenyekiti wa uchaguzi amesema kuwa Kwa …
Ridhiwani Kikwete Ahojiwa na Mamlaka ya Dawa za Kulevya, Ashukuru Mungu…
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete ameeleza kufurahishwa kwake baada ya kuhojiwa na Mamlaka ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya nchini. Mbunge huyo amezungumza hayo jana jijini Dar es salaam baada ya kuhojiwa na Mamlaka hiyo, ambapo alisema roho yake imesuuzika kwani jamii imeamini kwamba hahusiki kwa namna yoyote ile na biashara hiyo haramu. “Nashukuru kwa kuhojiwa …
Sharti la Ndoa Bila Cheti cha Kuzaliwa Latenguliwa na Rais Magufuli
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amelifuta agizo lililotolewa jana tarehe 16 Machi, 2017 na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe linalotoa sharti la kuwa na cheti cha kuzaliwa kwa watu wote watakaofunga ndoa kuanzia tarehe 01 Mei, 2017. Mhe. Rais Magufuli amefuta agizo hilo leo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari …
Halotel Yawezeshwa Wafanyabiashara Kutangaza Biashara Bure kwa Simu
KUELEKEA kukua kwa teknolojia ya mawasiliano nchini kumeendelea kuwawezesha watanzania kupata nafasi ya kunufaika na huduma mbalimbali zinazotolewa na mitandao ya simu, Mtandao wa simu wa Halotel umezindua huduma itakayo wawezesha wateja wake ambao ni wafanya biashara kuweza kutangaza biashara zao bure kwa kutumia huduma mpya iliyozinduliwa na kampuni hiyo inayojulikana kama Halo SAINI. huduma hii inamuwezesha mteja …
Hamad Masauni Azungumza na Maafisa Waandamizi Jeshi la Magereza
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (aliyevaa suti) akiongozwa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, (CGP) Dkt. Juma Malewa (mbele), kuingia ukumbini kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Maafisa Waandamizi kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Magereza pamoja na Wakuu wa Vituo vya Magereza Tanzania Bara, uliofanyika Bwalo Kuu la Maafisa wa …