Na Mwandishi wetu RAIS Jakaya Kiwete amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa wapya. Katika uteuzi huo amewateua Wakuu wa Mikoa wapya 15, kuwabadilisha vituo vya kazi Wakuu wa Mikoa watano na Mkuu wa Mkoa wa Singida amebaki kwenye kituo chake cha kazi wakati Wakuu wa Mikoa wengine wanne watapangiwa kazi nyingine. Kwa mujibu wa taarifa ambayo mtandao huu umeipata leo …
Mataifa anuai yatuma rambirambi kwa Rais Kikwete
Na Mwandishi Wetu SALAMU za rambirambi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete kufuatia ajali ya kuzama kwa meli ya Spice Islanders na kuua watu 202 zimezidi kumiminika nchini kutoka Jumuia ya Kimataifa. Salamu hizo za rambirambi pia zimetumwa kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein. Hadi leo, Septemba …
Zitto aeleza kwanini Tanzania hainufaiki kwa madini, Prof Shivji ahoji kauli za kukua kwa uchuni!
Na Joachim Mushi NAIBU Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Kabwe Zitto amesema ni vigumu Tanzania kuanza kunufaika na sekta ya madini kama itashindwa kushinikiza kuanza kutumika kwa sheria mpya ya uchimbaji madini nchini. Amesema kutoanza kutumika kwa sekta hiyo kumeigharimu nchi kiasi kikubwa, kutokana na mapato mengi ikiwemo malipo ya mrahaba katika kampuni anuai za madini. Zitto ambaye …
Picha za Matukio anuai ndani ya Tamasha la TGNP
Zifuatazo ni picha mbalimbali zinazoonesha matukio ndani ya Tamasha la Jinsia Kumi la Jinsia linaloendelea ndani ya Viwanja vya TGNP jijini Dar es Salaam;- (Picha zote na Joachim Mushi)
Ajali ya meli: Miili saba yapatikana Mombasa
Zanzibar MIILI ya watu saba waliokufa kwenye ajali ya meli ya Mv Spice Islanders imepatikana katika ufukwe wa Bahari ya Hindi, Mombasa huko Kenya. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Balozi Seif Ali Idd alithibitisha taarifa za kupatikana kwa miili hiyo jana wakati akipokea rambirambi kutoka kwa taasisi mbalimbali ofisini kwake Vuga, mjini hapa. …