Balozi wa Finland Azinduwa Kituo cha Msaada Wahanga wa Ukatili wa Kijinsia

Balozi wa Finland Tanzania, Antila Sinikka akizungumza  wakati wa uzinduzi  wa kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia,mradi  unaofadhiliwa na Serikali ya Finland kupitia wizara ya mambo ya nje chini ya  shirika la UKUMBI

Balozi wa Finland Tanzania, Antila Sinikka akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia,mradi
unaofadhiliwa na Serikali ya Finland kupitia wizara ya mambo ya nje chini ya shirika la UKUMBI

IMG_2418

Mkurugenzi wa Shirika linalotoa msaada wa kisheria na elimu ya haki za binadamu mkoani Kilimanjaro(KWIECO) akimpokea Balozi wa Finland Tanzania Antila Sinikka aliyefika kwa ajili ya uzinduzi wa kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia.
Watoa ushauri wa shirika linalotoa msaada wa kisheria na elimu ya haki za binadamu mkoani Kilimanjaro (KWIECO) wakiimba wakati wa ufunguzi wa kituo hicho.
Balozi wa Finland Tanzania,Antila Sinikka akifurahia jambo mara wakati akitembelea majengo ya kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia ambayo yamejengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Finland kupitia wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo chini ya Shirika la UKUMBI.
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya KWIECO, Clement Kwayu akitoa
neno la ukaribisho kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bodi Loe Rose Mbise
wakai wa sherehe ya uzinduzi wa kituo hicho.
Mkurugenzi wa Shirika linalotoa msaada wa kisheria na elimu ya haki za
binadamu mkoani Kilimanjaro (KWIECO) Elizabeth Minde akitoa hotuba yake
wakati wa u
zinduzi wa kituo cha msaada kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia Katika kituo hicho wahanga watapatiwa malazi ya muda na huduma zingine za kijamii km matibabu, chakula, msaada wa kisheria, mafunzo ya ujasiriamali
n.k
Katibu tawala wa mkoa a Kilimanjaro, Martha Ufunguo akitoa salama za mkoa kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Leonidas Gama wakati wa uzinduzi wa kituo hicho.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa KWIECO,Jaji Aishiel Sumari akitoa neno la shukrani mara baada ya hotuba ya mgeni rasmi, Balozi wa Finland Tanzania, Antila Sinikka.
Meneja wa Benki ya Azania tawi la Moshi, Hajira Mmambe akizungumza kwa niaba ya wadau wa Kwieco wakati wa sherehe hizo.
Balozi wa Finland Tanzania, Antila Sinikka akikata utepe
kuashiria kuazna kutumika kwa majengo hayo.
Balozi wa Finland Tanzania, Antila Sinikka akifurahia jambo mara baada ya kufungua kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika kituo hicho.
Balozi wa Finland Tanzania Mh. Antila Sinikka akiwa katika
picha ya pamoja na watoa ushauri.
Balozi wa Finland Tanzania, Antila Sinikka alikabidhi kitabu cha “Politics of Gender “kwa Mkurugenzi wa Kwieco, Elizabeth Minde.
Maeneo mbalimbali ya kituo hicho.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya

Kaskazini.