Angalia Picha za Shughuli ya Lowassa Kuchukua Fomu NEC Ilivyosimamisha Dar

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa amechukua fomu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuwania nafasi hiyo leo Jumatatu Agosti 10, 2015.
 
Mmoja wa wanasheria wa Chadema, Mabele Marando akizungumza katika mkutano huo.

Mmoja wa wanasheria wa Chadema, Mabele Marando akizungumza katika mkutano huo.

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia wananchi.

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia wananchi.

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia wananchi.

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia wananchi.

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia wananchi.

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia wananchi.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya viongozi wawakilishi wa vyama vinavyounda ushirikiano wa UKAWA wakizungumza katika mkutano wamapokezi ya mgombea wa Chadema mara baada ya zoezi la kuchukua fomu NEC.

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

Baadhi ya wanachama wa vyama vinavyoshirikiana, UKAWA wakimsikiliza mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa alipowahutubia kwa dharura uwanja wa Biafra baada eneo lililoandaliwa awali ofisi za makao makuu ya Chadema kushindwa kumudu umati huo.

IMG_0207IMG_0205

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na mgombea mwenza Haji Duni Haji ukielekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi hiyo.

Msafara wa Mgombea huyo ulioanzia kwenye Ofisi za Chama cha Wananchi CUF Buguruni na kuishia kwenye Ofisi za CHADEMA Kinondoni Jijini Dar es salaam na kupelekea msongamano mkubwa wa watu ambao wengi wao ni wafuasi wakuu wa vyama vinavyounda UKAWA, na kufanya shughuli mbali mbali kusimama kwa muda wa takribani saa saba.  
Umati wa watu wakiwemo wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA ukiwa Umefurika kwa wingi kwenye Barabara ya Uhuru, Jijini Dar es salaam kumsindikiza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza
wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya
Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015,
walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania
Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba
25, mwaka huu.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na
Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, wakati alipofika kuchukua Fomu ya
kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika
Octoba 25, mwaka huu.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za tume ya Taifa ya Uchaguzi kkugombea nafasi hiyo, kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana
na Mkurugenzi wa tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhan Kombwey,
baada ya kukabidhiwa fomu za tume hiyo za kugombea kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Agosti 10, 2015. Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha
Wananchi CUF na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif.
Mh.
Lowassa na Mh. Duni wakiwapungia maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa
vinavyounda UKAWA nje ya Makao Makuu ya Chama cha CUF, Buguruni jijini
Dar.

Sehemu ya Wapenzi wa vyama vinavyounda UKAWA wakiushangilia Msafara wa MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa wakati akielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
Buhuruni Rozana.
MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya
Muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na
Katibu Mkuu wa Chama cha
Wananchi CUF na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya Chama cha CUF, Buguruni Jijini Dar es salaam.
MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya
Muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Mh. Freeman Mbowe, huku
Katibu Mkuu wa Chama cha
Wananchi CUF na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif akishuhudia.
 
 
Mh. Freeman Mbowe, Mh. Tundu Lissu na Mh. James Mbatia wakiwa kwenye magari yao wakati wakimsindikiza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
Barabara ya Uhuru, Jijini Dar.
Barabara ya Bibi Titi Mohamed, Jijini Dar.
Barabara ya Uhio.
Hakuna alietaka kupigwa na tukio hili.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
 
 
 
 
 
 
 
Mgombea mwenza wa Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni akiwapungia wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.