Ajali mbaya Iringa

Gari aina ya fuso lenye namba za usajili T115 ANZ likiwa limepinduka na mizigo kuzagaa baada ya kupata ajali mkoani Iringa jana. Katika ajali hiyo watu wawili walikufa na wengine 28 kujeruhiwa vibaya. (Picha na Francis Godwin, Iringa)