Abbas Mtemvu Arejesha Fomu ya Kuomba Ubunge Tena

Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Abbas Mtemvu (wapili kulia aliye kaa) akiwa ofisini hapo

Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Abbas Mtemvu (wapili kulia aliye kaa) akiwa ofisini hapo

 Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Abbas Mtemvu (wapili kulia), akirudisha  Fomu katika Ofisi za Chama hicho kwa Katibu wa Umoja wa Vijana Wilaya ya Temeke Yona Sengerema (kulia) Dar es Salaam jana,hata hivyo mtemvu akiwa anatetea Jimbo lake. walio kushoto ni baadhi ya viongozi mbalimbali wa Jimbo la temeke wa chama hicho waliomsindikiza mbunge huyo.
 Katibu wa Umoja wa Vijana Wilaya ya Temeke Yona Sengerema (kulia) akihakiki Fomu za Mbunge huyo mara alipokuwa akirudisha Ofisini hapo
  Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Abbas Mtemvu (wapili kulia aliye kaa) akiwa ofisini hapo 
  Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Abbas Mtemvu (wa katikati) akiongea na waandishi wa habari mara alipo kuwa amewasilisha fomu.
 Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania, Mariam Kisangi, akizungumza jambo  na waadishi wa habari mara baada ya Mbunge huyo kurudisha fomu 
  Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Abbas Mtemvu  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa chama hicho wakiwemo madiwani na wenyeviti walio msindikiza mbunge huyo
  Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama cha Mapinduzi
(CCM) Abbas Mtemvu  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama
wa chama hicho.wakiwemo madiwani na wenyeviti walio msindikiza mbunge
huyo. Picha zote na Khamis Mussa.