Benki ya NMB Yafuturisha Baadhi ya Wateja Wake

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda akizungumza neno mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya baadhi ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki ya NMB jana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda akizungumza neno mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya baadhi ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki ya NMB jana.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker akizungumza mara baada ya kumalizika kwa futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki ya NMB jana katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker akizungumza mara baada ya kumalizika kwa futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki ya NMB jana katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda akiwaongoza baadhi ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki ya NMB kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alimuwakilisha Makamo wa Rais Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa mgeni rasmi na kushindwa kuhudhuria.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda akiwaongoza baadhi ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki ya NMB kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alimuwakilisha Makamo wa Rais Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa mgeni rasmi na kushindwa kuhudhuria.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia) akisalimiana na baadhi ya wateja wa Benki hiyo na wadau mbalimbali walioshiriki katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia) akisalimiana na baadhi ya wateja wa Benki hiyo na wadau mbalimbali walioshiriki katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia) akisalimiana na baadhi ya wateja wa Benki hiyo na wadau mbalimbali walioshiriki katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kulia) akisalimiana na baadhi ya wateja wa Benki hiyo na wadau mbalimbali walioshiriki katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (katikati) akisalimiana na baadhi ya wateja wa Benki hiyo na wadau mbalimbali walioshiriki katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (katikati) akisalimiana na baadhi ya wateja wa Benki hiyo na wadau mbalimbali walioshiriki katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kushoto) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kushoto) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda katika futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda (kulia) kabla ya futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc, Ineke Bussemaker (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda (kulia) kabla ya futari iliyoandalia na benki hiyo kwa wateja wake kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda (katikati) akiwa na meza kuu kwemye hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya baadhi ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki hiyo jana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Paul Makonda (katikati) akiwa na meza kuu kwemye hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya baadhi ya wateja, wafanyakazi na wadau wa Benki hiyo jana.

Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence Mafuru (kulia) akisalimiana na Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas walipokutana katika hafla ya futari maalumu kwa wateja, na wadau wa Benki ya NMB.

Msajili wa Hazina, Bw. Lawrence Mafuru (kulia) akisalimiana na Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas walipokutana katika hafla ya futari maalumu kwa wateja, na wadau wa Benki ya NMB.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya wateja na wadau wa Benki ya NMB wakijumuika kupata futari maalumu iliyoandaliwa na Benki hiyo jana kwa ajili yao. Mgeni rasmi katika futari hiyo alikuwa ni Makamo Rais wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu aliyekuwa wakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.