Dk. Gharib Bilal Katika Mazungumzo Ujumbe Benki ya EXim

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwakaribisha Wajumbe wa Kampuni ya TBEA, wakati walipofika Ofisini kwa Ikulu jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwakaribisha Wajumbe wa Kampuni ya TBEA, wakati walipofika Ofisini kwa Ikulu jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na ujumbe kutoka Benki ya EXim, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Eng. Futakamba Mbogo (katikati) na Mshauri wa Kampuni ya TBEA, Skander Ettab, wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 21, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na ujumbe kutoka Benki ya EXim, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Eng. Futakamba Mbogo (katikati) na Mshauri wa Kampuni ya TBEA, Skander Ettab, wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 21, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na ujumbe kutoka Kampuni ya TBEA, wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leoJulai 21, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na ujumbe kutoka Kampuni ya TBEA, wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leoJulai 21, 2015 kwa mazungumzo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kampuni ya TBEA, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 21, 2015. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kampuni ya TBEA, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 21, 2015. Picha na OMR