Tabora Stand Up; Eid Mosi Wasanii Wafurika…!

Ommy Dimpoz

Ommy Dimpoz

Shangwe na burudani za kutosha zinatarajiwa kufanyika katika sikukuu ya Eid hapo kesho mkoani Tabora panapo majaaliwa ya M/Mungu. Mashabiki mbalimbali mjini Tabora watarajiwa kufurahia onesho hilo katika maeneo mawili tofauti ambapo mchana itakuwa Bwalo la Polisi kuanzia saa 8 mchana na Usiku katika viwanja vya Muungano Mesi kuanzia saa 2 usiku.

Wasanii wa kila nyanja wametua mjini hapo na kufanya mahojiano CG Fm Redio leo mchana; wasanii hao ni Kassim Mganga a.k.a tajiri wa mahaba, Ommy Dimpoz, Mkude Simba (Kitale) na rafiki yake Stan Bakora, Young Killer, na Baraka Da Prince.

Eid_Tabora (8)

Kassim Mganga akiwa CG Fm Redio, 89.5 The point of no Return

Eid_Tabora (4)
Eid_Tabora (7)

Manoni (Mtangazaji CG Fm Redio 89.5 The Point of no Return) akifanya mahojiano na wasanii.

Eid_Tabora (13)

Mkudesimba Original (Kitale)

Eid_Tabora (14)

Kitale na Stani Bakora, …eti “Tembo wa Ulaya mkubwa sana kama mbuzi”

Eid_Tabora (17)

Stan Bakora

Eid_Tabora (9)

Baraka Da Prince

Eid_Tabora (16)

Stephania (Mtangazaji CG FM)

Eid_Tabora (15)
Eid_Tabora (12)

Young Killer (Handsome aliyekosa matunzo) akishuka free style.

Eid_Tabora (5)

Mgalula Fundikira (Mkurugenzi wa Royal Nsyepa Entertainment) akizungumzia maandalizi ya onesho hilo aliloliandaa baada ya muda mrefu toka arudi kutoka Hispania

Eid_Tabora (3)
Eid_Tabora (2)
Eid_Tabora (18)

Kutoka kushoto, Kassim Mganga, Mubenga (Meneja wa Ommy Dimpoz), Stan Bakora na Abdul katika nyumba za Tabora Rest House walikofikia wasanii hao.

Eid_Tabora (19)
                                                           Wakijipima uwezo wa ukali wa “SAUM”, Picha na Aloyson -TBN Kanda ya Magharibi.