Dar Wajitokeza Kushiriki Shindano la Tanzania Movie Talents, 2015

Baadhi ya washiriki waliojitokeza kwa ajili ya kuonyesha vipaji vyao vya kuigiza katika shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 #Mpaka kieleweke wakiwa kwenye foleni kusubiri kuingia kwa majaji tayari kwa Kuanza kuonyesha vipaji vyao katika Ukumbi wa Makumbusho ya taifa uliopo jijini Dar Es Salaam mapema leo

Baadhi ya washiriki waliojitokeza kwa ajili ya kuonyesha vipaji vyao vya kuigiza katika shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 #Mpaka kieleweke wakiwa kwenye foleni kusubiri kuingia kwa majaji tayari kwa Kuanza kuonyesha vipaji vyao katika Ukumbi wa Makumbusho ya taifa uliopo jijini Dar Es Salaam mapema leo

 
 Baadhi ya wafanyakazi wa TMT wakiwahudumia watanzania waliojitokeza kwaajili ya kushiriki shindano la TMT 2015 kwa furaha 
Baadhi ya washiriki wakisubiria kuingia kwa majaji tayari kwa kuonyesha uwezo wao wa kuigiza
Baadhi ya vijana waliojitokeza kwaajili ya usajili wa kushiriki shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 #mpakakieleweke wakisikiliza maelekezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao ni waendeshaji wa shindano hilo katika viwanja vya makumbusho ya taifa jijini Dar Es Salaam.
 Baadhi ya washiriki waliojitokeza kwaajili ya kuonyesha viapji vyao vya kuigiza katika shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 #mpakakieleweke wakisubiri kuingia kwa majaji tayari kwa Kuanza kuonyesha vipaji vyao katika Ukumbi wa Makumbusho ya taifa uliopo jijini Dar Es Salaam mapema leo
 Baadhi ya washiriki wakianza kuonyesha yao kabla ya kuingia kwa majaji tayari kwa kuonyesha uwezo wao wa kuigiza

Wakichukua fomu za usajili kwaajili ya kushiriki shindano la TMT 2015
Washiriki wakiwa kwenye foleni.