Waziri Membe Mgeni Rasmi Tamasha la Qaswida Dar

Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akiwa ameongozana na viongozi mbalimbali wa taasisi hiyo wakizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Travertine Magomeni jijini Dar es salaam kuhusu Tamasha la Qaswida litakalofanyika Mei 25 kwenye viwanja vya Sekondari ya Benjamin Wiliam Mkapa Kariakoo.

Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akiwa ameongozana na viongozi mbalimbali wa taasisi hiyo wakizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Travertine Magomeni jijini Dar es salaam kuhusu Tamasha la Qaswida litakalofanyika Mei 25 kwenye viwanja vya Sekondari ya Benjamin Wiliam Mkapa Kariakoo.

Q1

Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano ya kuimba Qaswida yatakayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa mgeni rasmi akiwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernald Membe. Tamasha hilo litafanyikaMei 25 kuanzia saa saba mchana, Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi Jumanne Gereza.

Q3

Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akisisitiza jambo katika mkutano huo.