Mama Salma Akabidhiwa Tuzo ya Lugina

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikabidhi tuzo Maalum kwa Bwana Maximillan Lugina, iliyotolewa na wajumbe wa mkutano wa “Lugina Africa Midwives Research Network” kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa mtandao huo marehemu Profesa Helen Lugina ambaye ni mkewe. Profesa Helen alikuwa ni Muuguzi kutoka Tanzania aliyeasisi mkutano wa kwanza wa mtandao huo hapa nchini mwaka 1992.  

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikabidhi tuzo Maalum kwa Bwana Maximillan Lugina, iliyotolewa na wajumbe wa mkutano wa “Lugina Africa Midwives Research Network” kwa ajili ya kumuenzi muasisi wa mtandao huo marehemu Profesa Helen Lugina ambaye ni mkewe. Profesa Helen alikuwa ni Muuguzi kutoka Tanzania aliyeasisi mkutano wa kwanza wa mtandao huo hapa nchini mwaka 1992.

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Kaimu Muuguzi Mkuu wa serikali Dkt. Amalberga Kasangala mara baada ya kuwasili kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach kufungua rasmi “The Scientific Conference for Lugina Africa Midwives Research Network-LAMRN” tarehe 11.3.2015. Aliyesimama kushoto kwa Mama Salma ni Ndugu Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Kaimu Muuguzi Mkuu wa serikali Dkt. Amalberga Kasangala mara baada ya kuwasili kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach kufungua rasmi “The Scientific Conference for Lugina Africa Midwives Research Network-LAMRN” tarehe 11.3.2015. Aliyesimama kushoto kwa Mama Salma ni Ndugu Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

IMG_4116

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifungua rasmi mkutano wa kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” uliofanyika katika Hoteli ya Kunduchi Beach hapa Dr es Salaam tarehe 11.3.2015.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifungua rasmi mkutano wa kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” uliofanyika katika Hoteli ya Kunduchi Beach hapa Dr es Salaam tarehe 11.3.2015.

Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano wa Kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano huo.

Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano wa Kwanza wa “Lugina Africa Midwives Research Network” wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano huo.