Wafanyakazi Helios, Tanesco Wafanya Warsha

 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Helios na Tanesco waliohudhuria warsha hiyo.

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Helios na Tanesco waliohudhuria warsha hiyo.

 
Eranus Thompson, Mkuu wa uendeshaji wa Kanda ya Dar Es Salaam na Pwani kutoka Kampuni ya Helios Tower Tanzania akizungumza jinsi Helios Tower wanavyoweza kusambaza umeme unaozalishwa na Tanesco wakati wa warsha ya siku moja na Wafanyakazi wa Shirika la Umeme la Tanzania (Tanesco) iliyofanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.
 Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Usambazaji na Huduma kwa wateja kutoka Tanesco, Mhandisi Sophia Mgonja(mwenye nguo ya rangi nyekundu) akifuatilia warsha kuhusu usambazaji wa umeme iliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere jijini Dar Es Salaam.
 Wafanyakazi wa Tanesco wakifuatilia warsha hiyo.
 Mshauri kutoka Kampuni ya Helios Tower Tanzania, Dama Van Dan Berg akiwasilisha jinsi ya kampuni ya Helios Tower inavyoweza kufanya kazi katika kufunga minara. Picha na Josephat Lukaza Lukaza Blog.