Dk. Bilal Azinduwa Programu Utoaji Huduma kwa Viziwi

Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoa huduma wa Taasisi ya Starkey Hearing. Picha na OMR 

Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoa huduma wa Taasisi ya Starkey Hearing. Picha na OMR 

Baadhi ya wanafunzi wenye ulemavu wa kusikia, (Viziwi) wakisubiri kupatiwa huduma hiyo wakati wa uzinduzi.

Baadhi ya wanafunzi wenye ulemavu wa kusikia, (Viziwi) wakisubiri kupatiwa huduma hiyo wakati wa uzinduzi.

Baadhi ya wanafunzi wenye ulemavu wa kusikia, (Viziwi) wakisubiri kupatiwa huduma hiyo wakati wa uzinduzi.

Baadhi ya wanafunzi wenye ulemavu wa kusikia, (Viziwi) wakisubiri kupatiwa huduma hiyo wakati wa uzinduzi.

Makamu wa Rais wa Jasmhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal na Mwasisi wa Taasisi ya Starkey Hearing, William Austine, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi walemavu wa kusikia, wakiopatia mashine maalum za kuwawezesha kusikia, baada ya kuvishwa mashine hizo wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jasmhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal na Mwasisi wa Taasisi ya Starkey Hearing, William Austine, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi walemavu wa kusikia, wakiopatia mashine maalum za kuwawezesha kusikia, baada ya kuvishwa mashine hizo wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha Nishani, Mwanafunzi wa Darasa la tatu katika Shule ya Msingi Buguruni, mwenye ulemavu wa kusikia (kiziwi) , Amina Athuman, baada ya kuvishwa kifaa maalum kinachomwezesha kusikia, wakati wa uzinduzi rasmi wa utoaji wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi). Uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha Nishani, Mwanafunzi wa Darasa la tatu katika Shule ya Msingi Buguruni, mwenye ulemavu wa kusikia (kiziwi) , Amina Athuman, baada ya kuvishwa kifaa maalum kinachomwezesha kusikia, wakati wa uzinduzi rasmi wa utoaji wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi). Uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR

Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha mwanafunzi mlemavu wa kusikia (kiziwi) Bertha Samwel wa darasa la tatu Shule ya msingi Buguruni, Kifaa maalum cha kumwezesha kusikia, wakati wa uzinduzi rasmi utoaji wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi). Uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR

Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimvisha mwanafunzi mlemavu wa kusikia (kiziwi) Bertha Samwel wa darasa la tatu Shule ya msingi Buguruni, Kifaa maalum cha kumwezesha kusikia, wakati wa uzinduzi rasmi utoaji wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi). Uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, Mwasisi na Rais wa Taasisi ya Hearing, William Austine, baada ya uzinduzi wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi) uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, Mwasisi na Rais wa Taasisi ya Hearing, William Austine, baada ya uzinduzi wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi) uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi utoaji wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi) uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi utoaji wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi) uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani. Picha na OMR