Shinyanga Yatwaa Taji la Miss Talent 2014 Dar

Nicole Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga atwaa Miss Talent 2014 Dar

Nicole Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga atwaa Miss Talent 2014 Dar. Nicole Sarakikya alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji la miss talent.

Tano bora ilikuwa hii
 Ommy Dimpoz akiwa kwenye red carpet
 Msami akitoa burudani ya nguvu ndani ya Maisha club jijini Dar
  Mambo yalikuwa hivyo kwa baadhi ya washiriki
Mardha John akifanya vitu vyake
 Huyu ni balaaaa
 Elizabeth Eliud akikizungusha kiuno chake
Dorice Molel akifanya ya kwake kwenye stage
  Kwa Naomi Kisaka ilikuwa ni shidaaaaaa
 Huyu alikuja kiivi
 Sabina Thomas  alitoka kivyake vyake
  Weeeeee hii ni shida 
 Maureen Godfrey akishake kwenye stage
 Majaji wakifuatilia shindano hilo kwa makini
 Nicole Franklyn Sarakikya akiimba kwa hisia kali
 Hapa ni mwendo wa burudani tu
Ni mwendo wa furaha tu
 Camilla John aliimba kwa hisia 
 Hii ni kikwetu kwetu
Happy Sosy alikuja kama Beyonce 
Queen Latifa Hamisi yeye aliamua kukata nyonga 
Ni mwendo wa mauno
 Ni furaha tu
 Ngoma ziliamia India kwa muda
 Mc wa mashindano ya Redds  Miss Tanzania Talent, Hypeman Hk akifanya ya kwake kwenye jukwaa la New Maisha Club.
Ommy Dimpoz akitoa burudani kwenye stage ya Tanzania Miss Talent iliyofanyika ndani ya New Maisha Club Dar es salaam.
Kazi inaendelea hapa 
 Majaji wakijadiliana jambo
 Ilikuwa ni shidaaaaaa
 
Ommy Dimpoz (kulia) akiimba pamoja na Christian Bella waimbo wa mama ulioleta amasa kwa mashabiki wake.
 Majaji wakiongozwa na Chief jaji Martin Kadinda wakitoa maoni juu ya washiriki walioonesha vipaji vyao
  Chief Jaji Martin Kadinda akitangaza washindi
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia kwa makini tukio lililokuwa likiendelea