WAZIRI MKUU AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA KOREA KUSINI.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini, Bw. Kim Jae-Shin na Balozi wa Korea ya Kusini Nchini, Bw. Young Hoon Kim kwenye viwanja vya Ofisi ya Waziri Mkuu baada ya mazungumzo yao jijini Dar es salaam Novemba 30, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)