
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Donan Mmbando akiponyeza kitufe cha kingora katika moja ya magari ya wagonjwa kama ishara ya kuyapokea magari manne ya wagonjwa kutoka kwa wahisani ambao ni Plan International na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Canada (CIDA) katika halfa iliyofanyika jana. Picha na Lorietha Laurence- Maelezo.