Mengi atembelea maonesho ya Saba Saba

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi akipewa maelezo kabla ya kuanza kutembelea banda kubwa ambalo linashirikisha asasi mbalimbali zinazofadhiliwa na mfuko wa uwezeshaji wanawake unaosimamiwa na Mama Anna Mkapa, katika maonesho ya 35 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Mpigapicha wa dev.kisakuzi.com).