Ndani ya banda la Airtel viwanja vya Sabasaba

Hapa sio darasani, bali ni ndani ya banda la Airtel katika viwanja vya Sabasaba Dar es Salaam. Picani ni mmoja wa wahudumu wa Airtel akitoa maelekezo kwa wateja mbalimbali wanaotembelea banda lao kwa kutumia ubao jana.