JK akiwa Addis Ababa mkutano wa AU

JK akiwa na Mfalme Muswati III

Rais wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akizungumza na Mfalme Mswati III wa Swaziland wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika mjini Addis Ababa Mai 25, 2011. (Picha kwa hisani ya Ikulu)