JK ashiriki mazishi ya mke wa George Kahama

Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Mary Kahama Mke wa Waziri mstaafu na Mwanasiasa mkongwe Clement George Kahama (aliyesimama nyuma kulia) wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam jana jioni (Picha na Freddy Maro)