Wafungwa wa kesi za EPA wakielekea gerezani

Washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh bilioni 1.8 katika Akaunti ya madeni ya nje (EPA) ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Farijala Hussein na binamu yake Rajabu Maranda wakiwa katika ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi ndani ya gari wakati wakitoka Mahakamani kupelekwa gerezani baada ya kuhukumiwa miaka mitano jela.