JK akiwa kwenye msiba wa Hassan Mwinyimvua

Rais Kikwete akiwa na ndugu, jamaa na marafiki aliokwenda kuhani msiba wa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CCM, marehemu Athumani Hassan Mwinyimvua mtaa wa Matombo Magomeni Mwembe Chai Mei 22