Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein otembelea mashamba ya kilimo

Dk Ali Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein, akipewa maelezo kutoka kwa Ofisa Mdhamini Pemba wa Wizara ya Kilimo na Mifugo, Dk Suleiman Sheikh Mohamed, wakati alipotembelea mashamba ya kilimo huko, Bonde la Kwajibwa, Kengeja, Kusini Pemba, kuangalia athari za kiangazi zilizowakumba wananchi wa maeneo hayo, watatu kushoto ni mkewe Mama Mwanamwema Shein.